WAZIRI MKUU AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CUBA – HAVANA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akisalimiana na Makamu wa Rais wa Cuba, Mheshimiwa Salvador Valdes Mesa kabla ya mazungumzo yaliyofanyika
Revolutionary Square, Havana nchini Cuba, Julai 13, 2024. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na
Makamu wa Rais wa Cuba, Mheshimiwa Salvador Valdes Mesa, Revolutionary Square, Havana nchini
Cuba.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na ujumbe wake
(kushoto) akizungumza na Makamu wa Rais wa Cuba, Mheshimiwa Salvador
Valdes Mesa, Revolutionary Square,
Havana nchini Cuba, Julai 13, 2024 . Kulia kwa Waziri Mkuu ni Balozi wa
Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Makamu wa Rais wa Cuba, Mheshimiwa Salvador
Valdes Mesa zawadi ya picha inayoonyesha
nyumbu wanaovuka mto Mara kaaika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, baada ya
mazungumzo yaliyofanyika Revolutionary Square, Havana nchini Cuba, Julai 13,
2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na
Makamu wa Rais wa Cuba, Mheshimiwa Salvador Valdes Mesa, Revolutionary Square, Havana nchini
Cuba, Julai 13, 2024. Kushoto ni Balozi
wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole.
No comments