DKT. SAMIA AKIHUTUBIA MKUTANO WA KAMPENI KIBAHA MKOA WA PWANI
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye uwanja wa mkutano kwa ajili ya kuzungumza na wananchi wa Kibaha katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Pwani tarehe 28 Septemba, 2025.
Sehemu ya wananchi wa Kibaha mkoani Pwani waliohudhuria mkutano huo.
Sehemu ya wananchi wa Kibaha mkoani Pwani waliohudhuria mkutano huo
Mkutano ukiendelea.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu
Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kibaha katika muendelezo wa
Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Pwani tarehe 28 Septemba, 2025.
Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha mkoani Pwani tarehe 28 Septemba, 2025.
Sehemu ya wananchi wa Kibaha mkoani Pwani waliohudhuria mkutano huo.
Sehemu ya wananchi wa Kibaha mkoani Pwani waliohudhuria mkutano huo
Mkutano ukiendelea.
No comments