Breaking News

DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA MBINGA MKOANI RUVUMA

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Mbinga kwa ajili ya kuzungumza na wananchi wa wilaya hiyo katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Ruvuma tarehe 21 Septemba, 2025. 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mbinga katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Ruvuma tarehe 21 Septemba, 2025.

Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Mbinga mkoani Ruvuma tarehe 21 Septemba, 2025.

Mgombea Ubunge Jimbo la Mbinga Vijijini Wakili Judith Kapinga, akizungumza kwenye mkutano huo.


Sehemu ya wananchi wa Mbinga mkoani Ruvuma waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 21 Septemba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Mbinga mkoani Ruvuma ambao waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 21 Septemba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Mbinga mkoani Ruvuma ambao waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 21 Septemba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Mbinga mkoani Ruvuma ambao waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 21 Septemba, 2025.

Shamra shamra za wananchi wa Mbinga mkoani Ruvuma ambao waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 21 Septemba, 2025.

No comments