COMRADE NEBU MALEKELA KUTOA MADA KUHUSU SIASA NA UCHUMI
Comrade Nebu Malekela kupitia Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dodoma Tawi la Cive kesho Januari 3, 2026 anatarajia kutoa mada itakayohusu Siasa na Uchumi.
........................................
Na Dotto
Mwaibale, Dodoma
COMRADE Nebu
Malekela kupitia Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dodoma Tawi la Cive kesho
Januari 3, 2026 anatarajia kutoa mada itakayohusu Siasa na Uchumi.
Mada hiyo pia
itapambanua Misingi ya Maendeleo ya Taifa ambayo itafanyika Ukumbi wa LRB 003 D
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kuanzia saa 2:00 asubuhi.
Vijana wote wa Seneti ya Vyuo na Vyuo vikuu Mkoa wa Dodoma mnaalikwa kushiriki somo hilo la itikadi ambalo ni la muhimu sana,






.jpg)




No comments