RAIS MWINYI ASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali
Mwinyi ameshiriki Maadhimisho ya siku ya
kumbukumbu ya mashujaa katika uwanja wa Mji wa Serikali, Mtumba Jijini Dodoma tarehe 25 Julai 2024.
Mgeni rasmi katika Maadhimisho hayo alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan.
Viongozi mbalimbali wa Serikali kitaifa na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na
Usalama wameshiriki katika maadhimisho hayo.
No comments