Breaking News

RAIS SAMIA ASHIRIKI KONGAMANO LA WANAWAKE WA KIISLAM ZANZIBAR KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAM 1446-H/2024

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Washiriki wa Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar kwa ajili ya kuadhimisha mwaka Mpya wa Kiislam. Kongamano hilo limefanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar Julai5, 2024.


Baadhi ya Washiriki wa Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar wakiwa kwenye ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar kwa ajili ya kusikiliza mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika Kongamano hilo tarehe 05 Julai, 2024
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Kongamano la Wanawake wa Kiislam Zanzibar katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip tarehe 05 Julai, 2024.
Kongamano likiendelea.
Wanawake wa Kiislamu wakiwa kwenye kongamano hilo 

No comments