WAZIRI MKUU AFANYA KIKAO KAZI NA KAMATI ZA USALAMA ZA MIKOA, WILAYA NA VIONGOZI WA CCM
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza Kikao Kazi na Kamati za Usalama za Mikoa na Wilaya na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa ngazi ya Mikoa.
...............................
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 22, 2024 amefanya Kikao Kazi na
Kamati za Usalama za Mikoa na Wilaya na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi wa
ngazi ya Mikoa. Mheshimiwa Majaliwa amefanya kikao hicho kwa njia ya mtandao
akiwa Ofisi Ndogo za Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam.
No comments