MAKAMU WA KWANZA WA RAIS AKUTANA NA WAZIRI KIJAJI
Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akifanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu
Kijaji aliyeambatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera,
Uratibu na Baraza la Wawakilishi) Hamza Hassan Juma pamoja na viongozi wengine
alipofika ofisini kwake Migombani wakati ziara ya kujitambulisha leo tarehe 02
Agosti, 2024.
Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akifanya mazungumzo na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu
Kijaji aliyeambatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera,
Uratibu na Baraza la Wawakilishi) Hamza Hassan Juma pamoja na viongozi wengine
alipofika ofisini kwake Migombani wakati ziara ya kujitambulisha leo tarehe 02
Agosti, 2024.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji
akijitambulisha kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud
Othman wakati wa ziara yake Ofisini kwa Makamu wa Kwanza Migombani, Zanzibar
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji
akifanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera,
Uratibu na Baraza la Wawakilishi) Hamza Hassan Juma alipofika ofisini kwake
Vuga wakati ziara ya kujitambulisha Zanzibar leo tarehe 02 Agosti, 2024.
Wengine ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Cyprian Luhemeja na
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Salhina Mwita Ameir.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiagana na Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi)
Hamza Hassan Juma ofisini kwake Vuga wakati ziara yake ya kujitambulisha.
Waziri wa Nchi Ofisi
ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiwa katika
picha ya pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais (Sera,
Uratibu na Baraza la Wawakilishi) Hamza Hassan Juma na viongozi mbalimbali mara
baada ya kikao wakati ziara ya kujitambulisha Zanzibar
No comments