Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa
na Waandishi wa Habari kutoka mkoa wa Dodoma muda mfupi kabla ya kuanza kwa
kikao na maafisa ugani pamoja na wanaushirika Ikulu Chamwino, Jijini Dodoma,
tarehe 10 Agosti, 2024.
RAIS SAMIA APIGA PICHA NA WAANDISHI WA HABARI DODOMA
Reviewed by BLOG
on
August 10, 2024
Rating: 5
No comments