Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizindua Kampeni ya Tutunzane Mvomero mkoani Morogoro tarehe 03 Agosti, 2024.
Kampeni hiyo ina lengo na kuepusha migogoro ya Wakulima na wafugaji pamoja na
watumiaji wengine wa ardhi.
RAIS SAMIA AZINDUA KAMPENI YA TUTUNZNE MVOMERO MOROGORO
Reviewed by BLOG
on
August 04, 2024
Rating: 5
No comments