MAKAMU WA RAIS DKT. PHILIP MPANGO AKIZUNGUMZA NA MADEREVA WA BAJAJI NA PIKIPIKI JIJINI DODOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango
akizungumza na baadhi ya madereva wa bajaji na pikipiki kuhusu usalama
barabarani na uhifadhi wa mazingira mara baada ya kufungua Mkutano Maalum wa
Viongozi, Wataalamu na Wadau wa Mazingira kuhusu Mwelekeo wa Mazingira Nchini
unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete mkoani Dodoma. Tarehe
09 Septemba 2024.
No comments