Breaking News

CHUO KIKUU CHA MZUMBE CHAMTUNUKU RAIS SAMIA SHAHADA YA UDAKTARI WA HESHIMA KATIKA UONGOZI

Rais Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan atunukiwa shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi kwenye Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe Mkoani Morogoro.


Rais Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan atunukiwa shahada ya Udaktari wa Heshima katika Uongozi kwenye Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe Mkoani Morogoro.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mahafali ya 23 ya Chuo Kikuu Mzumbe Mkoani Morogoro yaliyofanyika katika eneo la Maekani, Kampasi Kuu Morogoro tarehe 24 Novemba, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye Mahafali hayo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye maandamano pamoja na viongozi wengine wakati wakielekea kwenye eneo la Maekani, Kampasi Kuu Morogoro kwa ajili ya sherehe za mahafali hayo.
Maandamano yakifanyika.
Maandamano yakifanyika.
Matukio mbalimbali kwenye Mahafali hayo.
Matukio yakiendelea
Mahafali yakiendelea
 

No comments