Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla (katikati) akikata
utepe kitabumaalum kuashiria uzinduzi wa mkakati wa
usalama barabarani Zanzibar katika hafla ya kilele cha Maadhimisho ya Kwanza ya
Wiki ya Usalama Barabaraniyaliyofanyika
katika Ukumbi wa viwanja vya Maonesho Nyamanzi Zanzibar.Kitabumaalum cha mkakati wa usalama barabarani Zanzibar kikioneshwa baada ya kuzinduliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA MKAKATI WA USALAMA BARABARANI ZANZIBAR
Reviewed by BLOG
on
November 24, 2024
Rating: 5
No comments