Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye foleni pamoja na
wananchi wengine wakati wa kwenda kupiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye
Uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika kitongoji cha Sokoine, Chamwino mkoani
Dodoma tarehe 27 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye foleni pamoja na
wananchi wengine wakati wa kwenda kupiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye
Uchaguzi wa Serikali za Mtaa katika kitongoji cha Sokoine, Chamwino mkoani
Dodoma tarehe 27 Novemba, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga kura
RAIS DKT. SAMIA APIGA KURA KITONGOJI CHA SOKOINE CHAMWINO MKOANI DODOMA
Reviewed by BLOG
on
November 27, 2024
Rating: 5
No comments