Breaking News

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya ziara ya kikazi mkoani Arusha, leo Novemba 27, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali baada ya kuwasili  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya ziara ya kikazi mkoani Arusha, leo Novemba 27, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwatizama Wasanii wa kabila la Masai walipokuwa wakitoa burudani wakati wa mapokezi yake.Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda akizungumza wakati wa mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili  katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
 

No comments