Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uzinduzi wa Maabara Kuu ya Kisasa ya Kilimo iliyopo Mtumba Jijini Dodoma leo tarehe 08 Agosti, 2025.
RAIS SAMIA AZINDUA MAABARA KUU YA KILIMO
Reviewed by BLOG
on
August 08, 2025
Rating: 5
No comments