Breaking News

SHAMRASHAMARA ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa salamu fupi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Amani  Januari 12, 2024.

Viongozi mbalimbali waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika Uwanja wa Amani.

Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye maadhimisho hayo.

Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye maadhimisho hayo.

Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye maadhimisho hayo.

Askari wa Kikosi cha Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Amani tarehe 12 Januari, 2024.

Askari wa Kikosi cha Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.

Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.

Mmoja wa Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho hayo.Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho hayo.

Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Amani  Januari 12,2024.

Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho hayo..


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Amani Januari 12,2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Amani Januari 12,2024.

Askari wa Kikosi cha Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Amani.

Mmoja wa Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho hayo ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akipita mbele ya Jukwaa Kuu akiwa amevaa vazi la kujikinga na adui wakati wa maadhimisho hayo.

Askari wa Kikosi cha Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita kwa umahiri na ukakamavu mkubwa mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Amani Januari 12, 2024.

Mmoja wa Askari wa Kikosi cha Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho hayo.

Askari wa Kikosi cha Makomandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho hayo.

Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Amani.

Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) akipita mbele ya Jukwaa Kuu wakati wa maadhimisho hayo.


 

No comments