Breaking News

NAIBU WAZIRI SANGU ATEMBELEA OFISI YA RAIS, SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA.


Naibu Waziri Ofisi Ya Rais Menejimenti ya Utumishi Wa Umma na Utawala Bora Mhe.Deus Sangu akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi Wa Umma katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi hiyo jijini Dodoma Agosti 23 mara baada ya kufanya Ziara fupi ya kikazi Ofisini hapo.

Kikao na watumishi hao kikiendelea.
Naibu Waziri Ofisi Ya Rais Menejimenti ya Utumishi Wa Umma na Utawala Bora  Mhe.Deus Sangu(katikati), akiwa katika picha ya pamoja ya Viongozi pamoja na Watumishi wa Ofisi ya Rais,Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi Wa Umma  jijini Dodoma Agosti 23 baada ya kufanya Ziara fupi ya kikazi ofisini hapo.




 

No comments