Breaking News

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ASHIRIKI KONGAMANO LA KUMPONGEZA RAIS MWINYI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla ameshiriki katika Kongamano la kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussen Ali Mwinyi kwa kutimiza Miaka Minne(4) ya Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Nane(😎 lililoandaliwa na Jumuiya ya Wazazi wa CCM Tanzania lililofanyika katika Viwanja vya Verde Marina Mtoni Zanzibar.

No comments