Breaking News

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BARAZA LA MAPINDUZI

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Mapinduzi na viongozi wengine waliohudhuria katika mafunzo ya usimamizi wa Biashara ya Kaboni yaliyofanyika katika Ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar.


No comments