Breaking News

SHAMBA LINAUZWA: LIPO KATA YA PANZUO TARAFA YA MKAMBA, MKURANGA MKOA WA PWANI


Eneo: Hekari 50

Bei Shilingi Milioni 2 kwa heka moja

Lipo kilometa 15 kutoka Kimanzichana na ni mwendo wa dakika 30 kutoka barabara kuu ya lami ya Dar es Salaam kwenda Mtwara.

Mazingira ya shamba ni tulivu na yanafaa kwa kilimo na uwekezaji.

Umiliki wake ni wa kudumu na  hakuna mgogoro

“ Wahi Sasa”

Kwa mawasiliano piga simu namba 0717-389688 na 0687347676.


 

No comments